Somo la 8/19

Ukurasa wa 1/3 Unaendeleaje? Tathmini na Marekebisho

Unaendeleaje? Tathmini na Marekebisho

Ujuzi unaotakiwa kutumika:

•  Kutafakari mchakato wa kujifunza kwako.

  Kutumia uzoefu wako kama mlezi.

 

Mada ya somo:

Katika somo hili la mafunzo utarejelea masomo ambayo umeshayakamilisha hadi sasa. Utatoa muhtasari wa kazi na uzoefu wako kabla ya kuendelea.

 

Malengo ya somo:

Lengo la somo ni kuakisi na mwalimu wako na wazazi walezi wengine kuhusu ulichokisoma na kufanikisha katika kazi yako, na namna mnavyoweza kufanya kazi pamoja vizuri zaidi.

 

“Somo hili lilitusaidia kuangalia maendeleo ya kila mtoto, kukagua, kukubali na kusaidia katika mtandao wetu wa kijamii, na jinsi ya kuendelea na kazi yetu. Tulikuwa na maoni mapya na kurekebisha namna tunavyofanya kazi pamoja”.

Kauli ya Mlezi